
Not a Job Post, Looking for a Real Technical Co-Founder to Build a Trust & Fraud Intelligence System for Mobile Transactions in Tanzania
I’m currently exploring a long-term technical co-founder relationship for an early-stage system called ChekiNamba.
Problem yenyewe ipo around trust & fraud kwenye phone-number based transactions, especially kwenye mobile money ecosystem ya Tanzania.
Simple idea ni hii:
Unawezaje kujua kama number ina trust before kutuma hela?
Hii sio corporate hiring wala normal job post.
Natafuta watu ambao:
- wanapenda systems thinking
- wanaelewa security/adversarial thinking
- wanapenda kujenga real systems
- wako comfortable kufanya vitu kwenye uncertainty
- na ideally washawahi build projects before
Current stage:
- bado early-stage
- product scope bado tunaiexplore
- hakuna massive funding bado
- more of founder-level collaboration
Interested sana na watu wa:
- Computer Science
- Software Engineering
- Information Systems
- Cybersecurity
- backend/API systems
- au hata self-taught builders wenye real projects
Kwa sasa priority ipo zaidi kwa watu wa Dar kutokana na ease ya collaboration kwenye hatua hii ya mwanzo.
Nimeamua kutumia structured form instead ya random DMs ili iwe easier kupata watu wenye strong thinking & serious mindset.
Applications zitareviewiwa selectively na form inaweza kufungwa mapema tukipata watu strong.
Application form : click here
Kama una deeper thoughts/questions unaweza pia kutuma kupitia: