u/BulkyDoor6045

▲ 28

are you sharp or blunt?

I want to share something that imekuwa ikinisumbua sana kuhusu this motive of being sharp and i have come to a realization mbona huku wasee bado wanateseka even though this community ikona over 20k "sharp boys and girls" na shida ni ati kila msee anagatekeep utapata msee anajua mahali kuna maziwa lakini haezi sema hata haezipost hapa atleast kila mtu asaidike and that's the lroblem UNITY if wasee kumi washare idea inatoa hata 100 singaporian dollars hiyo kila msee hapa atakuwa na thao imagine daily 10 people are sharing that means utakuwa na 1000 daily in a month utakuwa na 30,000 na saa hiyo unashinda kejani so me naona we should unite and let's share the opportunities zenye ziko the cake is big for all of us

reddit.com
u/BulkyDoor6045 — 1 day ago
▲ 76

Invented dark mode but still unemployed😂😂

u/BulkyDoor6045 — 3 days ago
▲ 28

Hii inamake sense kweli😂😂

Ukitaka kuomoka maishani,….

Chukua duthi ya Stima ya lipa mdogo mdogo (Company ya Cyber) . (utakuwa unacharge home na charger yako Alf unaeka token ya ksh100 only ikupeleke siku mzima.)

Then itumie ku-fanya biashara ya kununua (ndegu-kitui or makueni county)ama ( maharangwe -Rombo,Njukini areas) Then tafuta soko 7, kila soko make sure umepata wateja 10 kila mtu anunue atleast ngunia moja, easy day sell 10bags on wholesale, hutakosa 5-6k per day (kwa week 30k)

reddit.com
u/BulkyDoor6045 — 3 days ago
▲ 1

How do you get clients

To those who offer digital services online which methods or marketing strategies do you use to get clients for your business

reddit.com
u/BulkyDoor6045 — 4 days ago